Wanajeshi wa Sudan Kusini waliokuwa wenye njaa wameiba chakula kutoka kwa mfanyibaishara mmoja katika moja ya masoko makuu kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Juba.

Wakati mfanyibiashara huyo katika soko la Konyo Konyo aliwataka wanajeshi hao walipie chakula hicho, walimjibu na kumuambia aende kwa Rais Salva Kiir kudai pesa zake kwa sababu hawajalipwa mishara kwa miezi kadha.

Wafanyibiashara wengine walifunga maduka yao ili wanajeshi hao wasije nao wakawaibie

Uganda Kuwaondoa Wanajeshi wake Somalia
Sekta Ya Filamu za Ngono Yaomba Msamaha Japan