![](https://dar24.com/wp-content/uploads/2022/02/8baf30ce-69cf-4a44-befa-4c9b27fe5c87-1-1024x669.jpeg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Waso, Loliondo wilayani Ngorongoro,
![](https://dar24.com/wp-content/uploads/2022/02/e037dd4e-2df7-4149-92c7-ceb67b3a001c-1024x528.jpeg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wadau wa Uhifadhi, katika kikao kilichofanyika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Waso, Loliondo wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha.
![](https://dar24.com/wp-content/uploads/2022/02/f313ce7c-9b60-44db-9cc1-186f27ac69e4-1024x683.jpeg)
Baadhi ya wakazi wa Waso, Loliondo wilayani Ngorongoro na wadau wa uhifadhi wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao, Februari 14, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)