kabla ya  vita ya kwanza ya dunia kulikuwa kuna saa za mfuko yaani pocket watch saa hizi zilipendwa sana enzi hizo .ila katika kipindi cha mapigano wanajeshi walihitaji saa ambayo itakuwa rahisi kuangalia sio mpaka watoe mfuko hivyo walianza kuvaaa saa mkononi  na ikawa rahisi sana kuangalia wakati wa mapigano

Sababu zinapelekea kuvaaa saa japo simu zipo.

Saa zina nguvu mbalimbali; saamara nyingi huwa zina sifa mbalimbali kama uwezo wa kutoa ingia maji hivyo kufanya mtumiaji kuvaa popote atakapo hata kwenye maji kuna zingine ni ngumu kupasuka yaani shock resistant hasa kwa saa za company ya gshocK au skmei.

Saa ni fashioni; saa za mkononi pia ni fashion huongeza umaridadi na urembo  wa mtumiaji au mmiliki wa saa husika .katika vitu wataalam wa fashion huwa wanashauri ni kuvaa saa mkononi ukitaka upendeze zaidi na mavazi yako wewe vaa saa ya mkononi muonekano wako utaongeza na utang’ara.

Saa hutunza muda vizuri; japo kuna simu kuna computer hakuna kifaa kinachopita saa kwa utunzaji mzuri wa muda hasa saa za mabattery ya quartz za mwaka 1955 pia saa ya mkononi humpa mtu urahis wa kuangalia wakati muda wowote.

China yapokea hotuba na maono ya Rais Magufuli
Habari kubwa kwenye magazeti leo, Novemba 15, 2020