Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu wakati alipokuwa akitoa hotuba ya kuvunja Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge katika kikao cha Baraza hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Baraza hilo limemaliza kipindi chake cha miaka mitatu.
Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi akitoa hotuba ya kumkaribisha Mgeni Rasmi Naibu Spika, Mussa Zungu kuvunja Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge baada ya kumaliza kipindi chake cha miaka mitatu.