Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania waishio Nchini Korea Kusini, ikiwa ni moja ya ratiba ya kumaliza ziara yake na kuanza safari ya kurejea Nchini Tanzania.

Habari kuu kwenye Magazeti ya leo Juni 6, 2024
Ajali ya Mbeya: 14 wapoteza maisha