Uongozi wa Red Roof Inn ya nchini Marekani, umeunda kile inachokiita vyumba vya kifahari vya kifo kwa watu wanaojiua ambao wamekata tamaa ya maisha, ambacho hukodishwa kwa kiasi kisichozidi Dola 40 ikiwa katika eneo la Cincinnati – Sharonville 2301 Sharon Road.

Baada ya chumba hicho hulipiwa kwa siku moja, mteja hulala humo akiwa na silaha mbalimbali ikiwemo Bastola, visu vya ukubwa tofauti, bafu lenye shoti ya umeme na pia hukuta kamba iliyoandaliwa kwa ajili ya kujinyonga na yeye huchagua akipendacho ili kutimiza azma yake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hotel hiyo, Marcia Jeffrey Connelly anasema wana vyumba maalumu kulingana na hitaji kwa mtu yeyote ambaye ameamua kujia kwa haraka bila uchungu kwa kuchoshwa na maisha.

Cha kushangaza sasa, ni kwamba watu wamekuwa wakienda katika Hoteli hiyo kukodisha chumba na baada ya kufanya malipo hupewa funguo na kisha huingia ndani kwa ajili ya kuendelea na starehe hiyo ya kujiua.

Raheem Sterling kusomesha wasiojiweza
Young Africans yajitabiriwa ubingwa Afrika