Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetangaza kufanya mikutano ya hadhara tarehe 1 Septemba 2016 kwa nchi nzima. Akitoa tamko hilo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amewataka wanachama wote, viongozi wa chama, wabunge, na mabaraza yote ya chama, madiwani wote nchi nzima kuandaa mikutano ya ndani ya chama katika ngazi zote.

Serikali Yatoa Wito Kwa Taasisi Za Umma
Bila Pauni Milion 40, Lacazette Hang'oki Lyon