Alikiba ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za heshima kubwa za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) ambazo hutolewa nchini Marekani.
Tuzo za mwaka huu zilitolewa wikiendi hii kwenye ukumbi wa Alex Theatre of Glendale, huko California. Zilikuwa ni tuzo za 6 na zilionekana katika nchi mbalimbali duniani.
Alikiba ameshinda kipengele cha Favorite Artist of The Year na Favorite Song of The Year.
![kiba-tuzo](https://dar24.com/wp-content/uploads/2016/11/kiba-tuzo-240x300.jpg)