Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemfuta kazi aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO), Balozi Hassan O Gumbo Kibelloh.

Kufuatia utenguzi huo, Rais Magufuli amemteua Gregory George Teu kuwa mwenyekiti wa Bodi hiyo ya (KADCO).

Icardi aiongoza Inter Millan kuilaza Ac Millan
Uchaguzi Liberia kuelekea duru ya pili