Tazama hapa moja kwa moja yanayojiri katika hafla ya uapisho wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa nchini hum.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amehudhuria pamoja na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete.

Pikipiki 20 za Diamond 'zapigwa', Babu Tale afunguka
RC atoa sababu ya kukusanya ATM kadi za watumishi