Mshike mshike wa ligi ya mabingwa barani Ulaya uliendelea tena usiku wa kuamkia hii leo kwa michezo ya mzunguuko wa tano kuchezwa katika viwanja tofauti.
Michezo iliyohusika ilikua ya kundi la kwanza hadi la nne.
Matokeo:
UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi La Kwanza
Arsenal 2-2 Paris Saint Germain
Ludogorets Razgrad 0-0 FC Basel
UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi La Pili
Besiktas 3-3 Benfica
SSC Napoli 0-0 Dynamo Kiev
UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi La Tatu
Borussia Mönchengladbach 1-1 Manchester City
Celtic 0-2 Barcelona
UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi La Nne
FC Rostov 3-2 Bayern Munich
Atlético Madrid 2-0  PSV Eindhoven