Timu ya soka Taifa ya Wanawake ya Tanzania – Twiga Stars, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Rwanda, utakaofanyika Uwanja wa Amahoro jijini Kigali, Rwanda.

Rwanda wameomba mchezo ufanyike ili kukiimarisha kikosi chao sambamba na kuboresha uhusiano wa nchi ambazo zote ni nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

TEHAMA yarahisisha mfumo wa uombaji Ajira.
Meye Bastrel Kuhukumu Mchezo Wa Taifa Stars Vs Misri