Majaliwa: Simamieni miradi ya maendeleo kikamilifu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakazi wa Kitongoji cha Muhumba, Halmashauri ya Wilaya Butiama ambapo aliwaeleza kuwa Serikali itaendelea kuhudumia watanzania katika maeneo yao.

Majaliwa pia amewataka Wakuu wa Wilaya nchini kusimamia kikamilifu miradi yote ya maendeleo kwenye maeneo yao ili ikamilike kwa wakati na viwango.

Edu: Arsenal itasajili Mshambuliaji
Anthony Martial kuondoka Man Utd