Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema Serikali itaendelea kugharamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati, ili kuhakikisha inakamilika na kuchangia katika ukuaji wa
uchumi wa wa taifa.
Dkt. Mpango, ameyasema hayo wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa wa Reli ya Kisasa (SGR), Kipande cha nne Tabora – Isaka wenye urefu wa Kilometa 165 inayogharimu shilingi Trilioni 2.09 iliofanyika eneo la Isaka, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga.

Mbarawa pamoja na viongozi wengine wa Chama na Serikali akiweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Kipande cha nne Tabora – Isaka yenye urefu wa Kilometa 165 katika hafla iliofanyika Isaka Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.

Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa wakati akielezea kuhusu ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Kipande cha nne Tabora – Isaka yenye urefu wa Kilometa 165 wakati wa hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Reli hiyo iliofanyika Isaka Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.

Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa wakati akitembea katika mfano wa Reli ya Kisasa (SGR) Kipande cha nne Tabora – Isaka.


Wakandarasi wakati wa hafla ya uwekaji Jiwe la Msingi Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Kipande cha nne Tabora – Isaka.

