Kwa mujibu wa viwango vilivyotolewa na mtandao wa ngumi za kulipwa wa dunia, @BoxRec leo Julai 26, 2021 imemtaja Bondia wa Tanzania, @HassanMwakinyo kuwa Bondia namba 1 barani Afrika na namba 37 duniani kati ya mabondia 2,050 wa uzani wa Super Welter.

Mwakinyo amefikia hatua hiyo kufuatia kufanya vizuri kwenye mapambano yake ya hivi karibuni.

Habari kubwa kwenye magazeti leo, Julai 27, 2021
Tuhuma mpya zinazomkabili R. Kelly