Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mofisa wa Magereza wakati alipotembelea Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga  mjini Dodoma Oktoba 5, 2016.
Askari Magereza wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kati alipowasilimia baada ya kutembelea Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma Isanga mjini Dodoma Oktoba 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Maofisa na Askari Magereza wa Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga baada ya kulitembelea Oktoba  5, 2016. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Parole Augusine Mrema, kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma na aliyekaa kushoto ni Mkuu wa Magereza wa mkoa wa Dodoma, SACP Kirumbi.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoka kwenye Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga wakati alipolitembelea mjini Dodoma Oktoba 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Maofisa na Askari Magereza wa Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga baada ya kulitembelea Oktoba  5, 2016. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Parole Augustine Mrema, kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma  Jordan Rugimbana  na aliyekaa kushoto ni Mkuu wa Magereza wa mkoa wa Dodoma, SACP Kirumbi. Aliyekaa kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Christina Mndeme.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Maofisa na  Askari Magereza bada ya kutembelea Gereza Kuu la mkoa wa Dodoma la Isanga mjini Dodoma Oktoba 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mofisa na Askari Magereza baada ya kutembelea Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga mjini Dodoma Oktoba 5, 2016. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Parole Augustine Mrema.