Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua CAG Mstaafu, Ludovick Utouh kuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na gesi Asilia Tanzania.

 

Makamba azua gumzo na 'kanuni' za kutumia lifti za majengo marefu
Habari kubwa zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Juni 21, 2018