Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz weekend hii amepost picha instagram akiwa safarini na Mama yake kuelekea Afrika Kusini, kwenye picha hiyo akiwa ameandika ujumbe ambao unaonyesha huwenda mpenzi wake Zari amejifungua.

Mapema mwezi uliopita katika hatua za kujiandaa na mapokezi ya mtoto huyo, Zari alifanya baby shower (sherehe ya kumkaribisha mtoto atakaye zaliwa) nchini Afrika Kusini na kuwashirikisha marafiki zake na watu wa karibu.

Kwenya kurasa yake ya instagram ameandika.

Na mama Chibu D Chibu De … flying to our new Second home, South africa For my New Born… #MiniMe #ChibuJunior #YoungSimba #YoungLion Ungependa nimpe jinangani eti??

Kama Zari amejifungua basi huyo ni mtoto wake wa pili na Diamond. Pia atakuwa mtoto wake wa tano kwa ujumla.

Mpango: Epukeni rushwa na ufisadi
Video: Dangote aja kushitaki kwa Rais Magufuli, Ukawa CCM kutikisa majukwaa kwa siku 30...