Shirika la kazi Duniani(ILO) limeandaa tuzo za waajiri kwa wale ambao wamekuwa wakihudumia vizuri waajiri wao, Shirika hilo limeamua kuandaa tuzo hizo ili kuweza kutoa motisha kwa waajiri wote ambao wanajali maslahi ya wafanyakazi wao.

Ukawa Waeleza Nia ya Kwenda ICC
Serikali na Kampuni Ya Oracle Waandaa Mkutano Wa Wataalam Wa Tehama