Kasi ya rais John Magufuli imeendelea kumfanya awe gumzo Afrik ambapo gumzo hilo limezaa hashtag ya ucheshi inayotokana na maamuzi yake #WhatWouldMagufuliDo.
Kupitia hashtag hiyo kwenye mtandao wa Twitter, watu mbalimbali wameeleza kwa ucheshi namna ambavyo wangeweza kubana matumizi na kupata kile walichokuwa wanakihitaji kwa mtindo wa Magufuli (angekuwa Magufuli angefanyaje).
Hizi ni baadhi ya zinazotrend:
I wanted new Gucci sunglasses then i asked myself #WhatWouldMagufuliDo pic.twitter.com/bm4dWqoZZl
— Masaku (@masaku_) November 26, 2015
Needed to take a hot shower,buh electricity too expensive then I thought #whatwouldmagufulido pic.twitter.com/ZKbDHYl2zB
— Tallam (@evanstallam) November 26, 2015
She wanted an I phone then I thought #WhatWouldMagufuliDo I bought her this pic.twitter.com/EuvVtvWRxb
— Alawi #77 (@alawiabdul) November 26, 2015
I wanted new Gucci sunglasses then i asked myself #WhatWouldMagufuliDo pic.twitter.com/bm4dWqoZZl
— Masaku (@masaku_) November 26, 2015
I wanted to celebrate my birthday leo then I thought #WhatWouldMagufuliDo & I hv postponed the celebrations to Nov 2016. Nimeshinda kazini
— Humphrey Polepole (@hpolepole) November 26, 2015
Hahaha “@masaku_: I wanted to throw away my old shoes then I asked myself #WhatWouldMagufuliDo pic.twitter.com/VEhqjL9v9V”
— Ken (@Ken_NM) November 26, 2015
LMAO! “@masaku_ I wanted an extravagant wedding then I thought to myself #WhatWouldMagufuliDo pic.twitter.com/LkmebC7ICz“
— Mungai (@erastu_) November 26, 2015
When babe wants to eat out and have a romantic candle lit dinner but then you ask yourself #WhatWouldMagufuliDo pic.twitter.com/MvflWTorzy
— WOAT (@str8ChaLii) November 26, 2015