Michuano ya kombe la ligi nchini Uingereza (EFL) iliyo katika mzunguuko wa tano, iliendelea tena usiku wa kuamkia hii leo kwa michezo kadhaa.

Matokeo ya nani kapenya na nani kapigwa baada ya michezo hiyo, ni kama inayoonekana:

Arsenal 2-0 Reading

Bristol City 1-2 Hull City

Leeds Utd 2-2 Norwich (Leeds Utd wameshinda kwa penati 3-2 )

Liverpool 2-1 Tottenham

Newcastle Utd 6-0 Preston

Michuano hiyo leo inaendelea tena kwa michezio mitatu ambapo Southampton itaumana na Sunderland, West Ham itakabana koo na Chelsea huku vita kali ikitarajiwa kushuhudiwa kati ya Manchester Utd na Man City. 

Pep Guardiola: Ningependa Kumtumia Yaya Dhidi Ya Man Utd
Chuo kikuu UDSM chashauliwa kufanya tathmini ya mafanikio