Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Februari 19, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Video: Prof Lipumba apata pigo la kwanza CUF, DCI afunguka shambulio la Tundu Lissu
Fatma Karume aeleza sababu za kuachana na Urais TLS