Baada ya kumaliza maisha ya soka kwenye barani Ulaya, Ramires amejiunga na club ya Jiangsu Suning inayoshiriki Chinese Super League.

Ramires amepokelewa na mashabiki na kukabidhiwa maua na mashabiki kuanzia alipowasili airport. Ramires tayari ameshaifungia goli moja club yake mpya kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Anzhi Makhachkala ya Russia.Ramires alisepa Chelsea kwa gharama ya £25million.

1

Ligi ya China inafanya juhudi kubwa kuwaleta mastaa wenye majina makubwa ili kuipa umaarufu ligi yao. Tayari kuna majina makubwa mengi kwenye ligi yao kama Robihno, Ramires, Asamoah na wengineo.

Laurent Koscielny: Ninajihisi Faraja Kuwa Nahodha Wa Arsenal
Shujaa: Mwanamke Tarime awanyang’anya Majambazi Watatu Bunduki yenye Risasi