Baba mzazi wa mchezaji wa klabu ya soka ya Paris Saint-German Luic Cavana amesema angependa kumuona mwanae Edson Cavan anakipiga katika klabu za Real Madrid,Juventus au Manchester United kuliko alipo hivi sasa.

Luic Cavani anaamini mwanae anauwezo mkubwa wa kucheza zaidi ya mshambuliaji mwezake raia wa Sweden Zlatan Ibrahimovic kama wakimpa nafasi zaidi kama mshambuliaji wa katikat.

Edinson Cavani anatakiwa kuondoka katika klabu ya Paris Saint-Germain na kujiunga na klabu za  Real Madrid, Manchester United au Juventus kwa mujibu wa Luic Cavani.

Luis Cavani amesema mwanae huyo mwenye miaka 29 anapoteza muda tu katika kokisi hicho kinchonolewa na kocha wao Laurent Blanc’s na huwa ni mzuri zaidi akichezesha kati kati.

Simba Wapanga Jinsi Ya Kuimaliza Yanga, Kutwaa Ubingwa
Waziri Mkuu Afanya Ziara Katika Uwanja Wa Uhuru