Mwili wa nguli wa Muziki wa Dansi Tanzania aliyekuwa akiitumikia Bendi ya Msondo Ngoma, Shaban Dede, amepumnzishwa katika makazi yake ya milele leo Julai 7, 2017, ambapo mamia ya watu waliusindika mwili huo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam kwa ajili ya maziko.

Tazama hapa picha

   

Roma: Ningesema mlichotaka kusikia ingekuwa mwisho wa muziki wangu
Manispaa ya Ilala yapewa onyo kali, yatozwa milioni 25 kwa uchafuzi wa mazingira