Rapa wa Marekani mwenye asili ya Ujerumani, Deso Dogg aliyejiunga na Kundi la kigaidi la ISIS ameripotiwa kuuwa nchini Syria.

Deso Dogg Target

Taarifa kutoka Pentagon zimeeleza kuwa rapa huyo ambaye jina lake la kuzaliwa nai Denis Cuspert, aliyejibadili jina na kuwa Abu Talha al – Almani aliuawa Octoba 16 katika shambulizi la ndege lilifanywa na majeshi ya Marekani nchini Syria kulenga kundi la ISIS.

Deso Dogg aliwahi kufanya ziara ya kimuziki na DMX lakini aliamua kuachana na muziki mwaka 2012 na kujiunga na kundi la ISIS.

Samsung Yamwagia Rihanna Mabilioni Kwa Mchongo Huu
Tailor Swift Atuhumiwa Kwa Wizi, Sheria Yamaliza Mzozo