Maoni yameendelea kutolewa Bungeni kuhusu bajeti iliyoombwa na Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi kwa mwaka wa fedha 21016/2017.
Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul amepata nafasi ya kusimama na kutoa dukuduku lake kuhusu Wizara husika huku akimtaka Waziri kutoa maelezo yakina ya bilioni 8 alizotenga kujenga ofisi.