Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetoa  taarifa ya mfumuko wa bei wa Taifa kwa kipimo cha mwaka na umeongezeka hadi asilimia 5.5 kutoka asilimia 5.2 kwa mwaka jana.

Akitoa taarifa hiyo Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Takwimu, Ephraim Kwesigabo ameeleza kasi ya upandaji wa bei  za bidhaa kwa mwaka ulioishia Juni, 2016 imeongezeka  ikilinganishwa na bei za Mei mwaka huu.

Video: Akothee ndani ya shela[OFFICIAL WEDDING] - Yuko Moyoni
TCRA yailima adhabu Clouds TV kwa kurusha kipindi cha Ushoga