Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi kuhakikisha unawaondoa watu wote wanaoishi katika maeneo ya hifadhi na ushoroba  wa wanyama  wa Lyamgoroka.

Majaliwa ametoa aagizo wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kiwanja cha  Majalila wilayani Tanganyika.

“Hakikisheni mnatunza mazingira. Msiache wakate miti hovyo kwa sababu wanakausha vyanzo vya maji na kusababisha eneo kuwa hatarini kukumbwa na ukame, hivyo ni vyema wakaondolewa mapema,

Game Ya Super Eagles VS Taifa Stars Yasogezwa Mbele
Picha: Majaliwa akutana na Waziri mkuu mstaafu, Pinda wilayani Mlele