Wataalamu wa afya  wamesema ingawa teknolojia  ya kisasa imeboreshwa, lakini kadri muda unavyozidi kwenda  watu wengi wanaishi maisha bila ya kufanya mazoezi ya kutosha, aidha ripoti  iliyochapishwa hivi karibuni na shirika la moyo la Marekani lilieleza kwamba  mabadiliko ya kiuchumi, watu kuhamia mjini , ustawi wa viwanda  na kuenea kwa biashara za kimataifa  huleta mabadiliko ya maisha .

Hayo yamesemwa na mtaalamu wa afya kutoka chuo cha Sayansi Muhimbili Dk, Fredy L. Mashili alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Oktoba 4, 2016 jijini Dar es salaam.

Taarifa hiyo iliyotokewa imeonyesha kuwa watu wengi wanaokaa maofisini kwa muda mrefu wako hatarini kupata magonjwa mbalimbali. Bofya hapa kutazama video

Video: Taarifa ya jengo la TPA, jengo refu zaidi Afrika Mashariki na Kati
Mwesigwa Celestine: Hatutovutana Na Congo Brazzaville