Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa orodha ya makundi manne na timu zitakazoshiriki Ligi Daraja la Pili (SDL) inayotarajiwa kuanza baadaye, mwaka huu.
Kwa mujibu wa Bodi ya Ligi (TPLB), chombo maalumu cha kusimamia michezon inayoendeshwa na TFF makundi na timu zitakazominyana kwenye mtanange huo ni kama ifuatavyo;
Kundi A:
Bulyanhulu FC- Shinyanga
Geita Gold SC- Geita
Mashujaa FC- Kigoma
Milambo SC- Tabora
Polisi Tabora FC- Tabora
Transit Camp FC- Shinyanga
Kundi B:
AFC- Arusha
Green Warriors- Dar es Salaam
JKT Oljoro- Arusha
Kitayosa- Kilimanjaro
Madini SC- Arusha
Pepsi- Arusha
Kundi C:
Abajalo SC- Dar es Salaam
CDA- Dodoma
Changanyikeni- Dar es Salaam
Cosmopolitan- Dar es Salaam
Kariakoo FC- Lindi
Burkina FC- Morogoro
Kundi D:
Namungo FC- Lindi
Mawenzi Market- Morogoro
Mkamba Rangers- Morogoro
Sabasaba United- Morogoro
The Mighty Elephant- Ruvuma
Wenda FC- Mbeya.

Maveterani wa Jeshi Marekani washinikiza Bunge kupitisha ‘Bangi’ kama dawa
El-Hadji Diouf: Nilimwambia Balotelli Asiende Liverpool